Recent content by Clomifen

  1. C

    Naomba kufahamishwa faida walizopata walioshiriki kumkomoa Mh Lema

    Sorry, si Masaburi, Ni R.I.P Kabwe.
  2. C

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Sitashangaa Jescar kutangazwa m'bunge. Tz ya viwonder.
  3. C

    Naomba kufahamishwa faida walizopata walioshiriki kumkomoa Mh Lema

    Hasidi hana sababu. Unashangaa ya Lema, umewahi kuwaza ya R.I.P Masaburi, mtu wa kwao kabisa walivyomfanyia hadi kuharakisha kifo chake, na msibani bila aibu wanatoa maneno kinyesi. Naamini Mungu anawaona na malipo yao ni hapa hapa duniani.
  4. C

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Hakuna cha vetting wala nini, kapewa uongozi kama zawadi ya 1.Kusaidia kupitishwa kwa rasimu ya katiba ccm waliyoitaka. 2.Kumpiga mzee Warioba. Hakuna kigezo kingine chochote kilichotumika juu ya Daudi Bashite wa Kolomije.
  5. C

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Usituletee u bashite wako.
  6. C

    Magufuli wana hasira na wewe, mpe Makonda Unaibu Waziri Mkuu, anaweza

    Pole, povu lote hilo ni ktk ku msafisha m Kolomije, Daudi Bashite?
  7. C

    Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

    Unaongea nini wewe, au nawe ni kina Bashite?
  8. C

    Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

    Na alaaniwe awapigaye wazee.
  9. C

    Meya Boniphace Jacob amfungukia RC Makonda

    Aandike atakavyo, goma lipo uwanjani, Daudi Bashite from Kolomije.
  10. C

    Ukimya wa Rais Magufuli juu ya matukio ya hivi karibuni

    Isitumike lumberpuncture hapa, badalayake itumike medullaoblungata block kwa occipital hummer sawa na op za 1000 bc.
  11. C

    Ukimya wa Rais Magufuli juu ya matukio ya hivi karibuni

    Nakumbuka walichomfanyia Masaburi (R.I.P) hadharani. Malipo ni duniani, ahera mathematic.
  12. C

    Nape Nnauye(2016): Samaki akifunga mdomo anaswi na ndoano, jifunze kufunga mdomo

    Picha sasa ni la Daudi Bashite wa Kolomije, utaipenda.
Back
Top Bottom