Recent content by clifford ngoma

  1. C

    Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

    hiyo sio hoja ya kuwa chadema ni chama cha wachaga..! ila unaonekana hujui nini maana ya vyama vingi.
  2. C

    Fahamu ubovu wa chuo kikuu cha sekomu cha walutherani kilichopo lushoto-tanga

    una uhakika gani walipo sekuko waliopo sekuko wamefeli, je una uhakika gani mpo udsm wote mmefaulu, huo ni ujinga kuongea kitu bila ushahidi
  3. C

    Question from Ms Christine from BBC News to Pres. Kikwete about HUMAN TRAFFICKING...

    acha kutetea na kuficha palipo pinda, we huoni maelezo kuwa yamepinda pinda, alafu unasema amejibu vizuri, acha ubwege wewe na nidhamu yako ya woga
  4. C

    Rais wa Marekani kupokelewa na Balozi wa Marekani katika ardhi ya Tanzania ni sawa??!!

    acha uvivu wa kufikiria wewe, hiyo sio argument, soma tena vizuri report yake
  5. C

    Updates - Pres. Obama in Tanzania July 01-02, 2013

    duh, noma kweli, hivi hawa watangazaji umakini wao katika kuwasilisha taharifa uko wapi? au sababu ni ya shirika la kijiji ndo buruta twende
  6. C

    Updates - Pres. Obama in Tanzania July 01-02, 2013

    hivi kulikuwa na ulazima gani wa rais kukagua obama avenue na maendeleo shughuli za mapokezi kwa ujumla, kwani hakukuwa na wajumbe wakuu wa maandalizi ya mapokezi? na kwa nini hatujiamini? au kwa sababu kikombe kimesafishwa nje kwa ustadi wakati ndani kichafuu k
  7. C

    Joseph Mbilinyi (Sugu) ameachiwa na hizi ndio sababu...

    hivi hawa polisi nani anawatuma kuwakamata wabunge, hivi hawajui kuwa hata makinda anafahamu kuwa hilo nijembe(TUNDU LISU) nijembe, na hv hawa polisi watumwa na ccm?
Back
Top Bottom