Recent content by CLEVER SQUIRREL

  1. C

    TANZIA: Mwanasiasa mkongwe na Mwanzilishi wa CUF, James Mapalala afariki dunia

    Si kweli aliyeanzisha chama hichi ni James Mapalala
  2. C

    Kwa wale Mabanker na wakereketwa, tukutane hapa tuambiambiane ya kwetu...

    Ushauri mwingine ni huu......kwa wale wenye marejesho ya mikopo benki usimpe hela afisa mikopo wako hata kama una muamini vipi.......na yeye ni mtu kama watu wengine anaweza kuila au kuacha kazi muda wowote ikawa umepoteza pesa.Always nenda ukadeposit mwenyewe au tumia mobile banking.
  3. C

    Baby ntumie Laki niende Saluni

    Atumie tu Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
  4. C

    Kwa wale Mabanker na wakereketwa, tukutane hapa tuambiambiane ya kwetu...

    Mi natoa ushauri tu kwa wale mnaoplan kukopa either mikopo ya biashara au kazini kopeni CRDB au NMB wanahuduma za uhakika ingawa zinachukua muda kidogo ku finalize process benki nyingine zina changamoto sana
  5. C

    Funzo kwa upinzani wa Tanzania kutoka Afrika Kusini

    Vyama vingi tawala vilivyopo madarakani Africa vilipata madaraka toka Uhuru na vimejitengenezea utaratibu wa siri na wa muda mrefu kwenye nyanja zote kuanzia kidola,kidini,kifedha na kiutawala.Wananchi wengi wa Africa wanaaminishwa kwamba vyama pinzani ni dhaifu na havina sera na mikakati...
  6. C

    Kwa wale Mabanker na wakereketwa, tukutane hapa tuambiambiane ya kwetu...

    Naongelea upande wa tellers sio general naushahidi mtu alikuwa anafanya kazi Teller aliyesomea I.T walivyokuja auditors wakapendekeza atolewe mle kwa sababu ya profession yake ni rahisi kucheza na systems
  7. C

    Kwa wale Mabanker na wakereketwa, tukutane hapa tuambiambiane ya kwetu...

    Majukumu ya benki ni mapana kidogo na benki ni institution hata ukienda muhimbili Hospital kunawahasibu mpaka social workers.Vile vile hata benki kuna wahasibu,watu wa I.T na kadhalika hata mtu aliyesoma sociology /social work anaweza kufanya kazi benki upande wa marketing na sales maana...
  8. C

    Kwa wale Mabanker na wakereketwa, tukutane hapa tuambiambiane ya kwetu...

    Professional bankers wapo kwa bongo wanakuwa qualified baada ya kusomea CPB na kufaulu exams (CERTIFIED PUBLIC BANKER).
  9. C

    Kwa wale Mabanker na wakereketwa, tukutane hapa tuambiambiane ya kwetu...

    Ukitaka kuwa successful banker unatakiwa uwe unahamahama,Ukiwa na experience na mabenki kuanzia manne au matano maisha yatakuwa mazuri.Usikae benki moja zaidi ya miaka miwili you will never grow na mawazo yako yatakuwa finyu sana
Back
Top Bottom