Recent content by clemencemlai

  1. C

    MSAADA WA KUUNLOCK SIMU KUTUMIA LINE ZOTE

    mkuu shukrani za awali saidia imei 357782062754553 t mobile
  2. C

    Tofauti ya umri katika mahusiano na kwa wanandoa (mume na mke)

    Tofauti kubwa ya umri kati ya mume na mke. Ndugu zangu, poleni na mihangaiko. Kupishana sana kwa umri kati ya mwanaume na mwanamke ambao wanataka kuoana kunaweza kukaleta matatizo gani katika maisha yao ya ndoa hasa ukizingatia mwanaume amezaliwa 1964 na binti amezaliwa 1993. Nawasilisha.
  3. C

    Tofauti ya umri katika mahusiano na kwa wanandoa (mume na mke)

    Ndugu zangu, poleni na mihangaiko. Kupishana sana kwa umri kati ya mwanaume namwanamke ambao wanataka kuoana kunaweza kukaleta matatizo gani,katika maisha yao ya ndoa hasa ukizingatia mwanaume amezaliwa 1964 na biti amezaliwa 1993. Nawasilisha
  4. C

    tigo pesa

    ipo bbei 700,000/-
  5. C

    Ekari 12 za beach puna kigamboni

    ekali 12 zinauzwa panafaa kwa hotel ,kiko karibuna pwani/beach .piga 0715341107
  6. C

    Uke kutoa maji mengi wakati wa kujamiiana, Je, ni tatizo?

    iko miaka niliishi mikoa yakigoma ,huko ndo wapo kwa wingi kwa wle wenye maji kiasi hunywa miti shammba ili kupatahayo maji wengine huchanjia kwwenye kinena na kati kati ya ------ , pia wnaume wahuko kama hautoi maji wewe huna dili na sio di li kabsisa
  7. C

    Mwanamke anataka malipo

    Kuna mwanamke nimemuowa ananiumiza kichwa sana , eti anataka kwa kila jambo afanyalo kwangu antaka apewe pesa hiyo achilia mbalin malupu lupu mengi ne mbali na mshahara wa mwezi. nimejitahidi sana lakini nimeshindwa kwani kama hivyo ndivyo basi kima cha chini cha ni sh ngapi? sipati mechi...
  8. C

    Kukaa kijiweni

    hapo sio ajira iliyo rasmi kwamantiki hiyo bali ni ubangaizaji tu kiasi kwamba nani kaja na janja
  9. C

    Kukaa kijiweni

    elew mada ww kwani we utazuia nn kama wanataka kukuibia ,huna cha kuibiwa ww
  10. C

    Kukaa kijiweni

    nimezunguka maeneo mengi hapa bongo nimekuta kunatabia ya vijana kukaa mahali fulani fulani wakiwa pamoja bila kujali ni wakati gani wasiku.vijiwe hivi viko hata kwenye viwanja vya mpira,fukweni,pembezoni pembezoni .je kuna faida gani kiuchumi achia mbali kijamii na kiuchumi?
  11. C

    kukaa kijiweni

    nimezunguka maeneo mengi hapa bongo , nikakuta vijana wengi hupenda kukaa katika vikundi ambavyo si rasmi ,nahukaa hapo pengine hadi majira ya jioni,je nini manufaa ya kukaa hivyo?na kama kuna gharama yeyote
  12. C

    Je nikweli kunyonyoka nywele kisogoni

    umri tu si kigezo pekee katika kujua mambo, yategemea unashiriki shughuli zipi? na mazingira ulyopo,ndo maana tuna badilishana mawazo
  13. C

    Je nikweli kunyonyoka nywele kisogoni

    wanawake wenye uwezo mkubwa wa ku do , ndo huwa wananyonyoka nywele kisogoni ,napia sio wavivu uwanjani na hawapendi kumiss kipindi
  14. C

    matusi kwa watoto

    BEAUTFULlady na bpm. kwaufasaha hongera kwa kushiriki kutoa maoni jamii itaendelea kuhitaji mchango wenu kwaustawi bora. big up
  15. C

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Inatia uchungu kuona mamlaka huisika zinazo hangaika kutaka kujua pato la mtanzania wanatumia vigezo vya kinagharia huku wakifumbia macho uhalisia wa hali halisi.t.r.a wakusanye pato hilo tuone kama hatuta kuwa na maisha bora wote.
Back
Top Bottom