Kukaa kimya si ujinga, tumeaswa suala la Lisu tusilifanyie siasa, sasa naona wengine wanatafuta kiki, ngojeni basi kwanza hata apone basi. Watanzania tusipoteze utu wetu kha!
Mi nilijua maajabu labda hapo ni kutoka kwenye kumiliki marcopolo bus mpaka kuja kuanza na coaster labda. Ambayo nayo si mbaya tunapoanzia kuliko kushindwa kabisa
(UVCCM yaivaa rasmi Chadema kwa kushindwa kufanya Maandamano ya UKUTA
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umewavaa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile walichodai kuendesha siasa za maigizo baada ya kushindwa kuzindua Operesheni UKUTA, Septemba 1.)
Siasa...
Mkuu kama haujaelewa si lazima uchangie ni busara pia kuacha wenye uwelewa na jumbo husika wachangie kisha pitia michango yao halafu hakika utapata kitu na hutokuwa na haja ya kuchangia na kama utachangia utachangia kitu cha kuelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.