Hayo ndio mawazo mazur wengne mawazo yao ajabu kweli mbaka unashangaa wanaubongo kweli.! atafute mapambano ya nje huko ili yampe nafasi zaid yakujitangaza na sio mnang'ang'ana apambane na mwakinyo ninyi ndio mnaowalemaza mabondia tumieni nafasi hiyo kumuhamasisha atafute mapambano zaid ya inje...
Nibora ninyi hata huko ulaya mnaishi je kwasisi makapuku? Mwana harakati anajumuika sio matamshi tu.tena akiwa huko ulaya hayo sio mapambano yakupasa wew naviongoz wako wachama muwe mstali wambele. Sio maneno bila vitendo.
Nasubutu kusema unachembe zaushbik wakipumbav sana kwasababu hakuna hoja ya msing ulio iongea hapa zaid ya ushabik wakipumbav jitafakar unasemea nyimbo zenye ujumbe mzuri sasa tazama cm yako je kunanyimbo zenye ujumbe mzur kwenye cm yako ndipo utakapo lipata jibu ya kuwa wew nimtu gan.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.