Wanaume wenzangu jamani tupunguze kujirahisisha kwa wanawake .. Dunia imebadilika sasa kwanza tuko wachache... Turinge hata kidogo bac ... Naamini ingekua ni mwanaume ameleta huu uzi hapa commnts zingekua 10 mpaka muda huu... Haya mambo ya kizamani bana tuwaachie nao zamu yao ya kurusha mawe juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.