Lugha unayotumia inaonyesha ni jinsi gani wewe pia ni zezeta.teaching is a professional.kuna baadhi ya walimu wasiochapa katika maeneo husika na wakati mwingine kuvuka mipaka lakini heshima ya mwalimu Iko pale pale.inawezekana hutambui kwasababu huna ulichofaidika kwakuwa sijui elimu Yako lakini...
Ninachokicchukia na kisichopendeza Kwa Tanzania Kwa Sasa kuwa na waongo wengi kwenye mitandao hasa tweet vijana wa hovyo wamekuwa wakidanganya na kupeleka sintofahamu Kwa jamii.TCRA kazi imewashinda.hivi ni vitu vingapi vya America tunakula na kunywa? Anyway kuhusu hili Kuna mtu wakuanza nae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.