Recent content by classic1988

  1. C

    Rafiki yangu anaumwa Fungus toka miaka mitatu iliyopita

    Natumiaje boss namaanisha nakunywa Kwa kipimo kipi
  2. C

    Wanafunzi na walimu ni kama maadui

    Lugha unayotumia inaonyesha ni jinsi gani wewe pia ni zezeta.teaching is a professional.kuna baadhi ya walimu wasiochapa katika maeneo husika na wakati mwingine kuvuka mipaka lakini heshima ya mwalimu Iko pale pale.inawezekana hutambui kwasababu huna ulichofaidika kwakuwa sijui elimu Yako lakini...
  3. C

    Rafiki yangu anaumwa Fungus toka miaka mitatu iliyopita

    Thanks na je Kwa ndani afanyaje boss
  4. C

    Wazo Kebehi: Wangetaka Kutuua Wangetuacha na HIV/UKIMWI...

    Ninachokicchukia na kisichopendeza Kwa Tanzania Kwa Sasa kuwa na waongo wengi kwenye mitandao hasa tweet vijana wa hovyo wamekuwa wakidanganya na kupeleka sintofahamu Kwa jamii.TCRA kazi imewashinda.hivi ni vitu vingapi vya America tunakula na kunywa? Anyway kuhusu hili Kuna mtu wakuanza nae...
  5. C

    Rafiki yangu anaumwa Fungus toka miaka mitatu iliyopita

    Shukran ila sio za Leo ni za muda
Back
Top Bottom