Dada wewe sio mke mwema hata kidogo,Ni Gold digger,yaani hapa mtandaoni tu ushaonekana,Yani usijaribiwe ili iweje,Kama wewe Ni Bora huwezi kuogopa majaribu
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Mkuu una akili Kama zangu,watu wamesahau kichwa Cha habari Cha huyu jamaa,alafu huyu jamaa nae kwa ujinga wake anajifariji.
Hapo juu katuambia afanye Nini ili Mwanamke wake amsahau ex wake,akasisitiza kua Kuna kumbu kumbu nyingi kafanya na ex wake huko nyuma,kwenye comment anageuka na kusema...
Ingawa mkuu nishakusoma wewe ni mtu wa Aina gani,kutokana na uandishi tu,Muno,hanajua,Mahana nk.
Wewe sio mjanja wa kutosha kujua janja za hawa marafiki wa yule joka.
Hata kufika hapa JF hongera maana sijui uliwezaje kua mjanja wa kufika huku kwa wajanja.
Unaonekana ni mwaminifu Sana kwa mkeo...
Hicho ni kipengele,yeye anasema ndugu zake wanao ishi na mtoto Sio waaminifu,lakini bado amewaamini akawapa mtoto waishi nae,huyo analake Jambo.
Hizo hela za mzazi mwenzake Kama anaona Zina umuhim saaana kwa mwanae kuliko chochote,basi ampe mtoto aishi na baba yake,laasivyo mkuu sali Sala ya...
Jamani muwe seriously wakati mwingine,mlete vitu vyenye uhalisia.
Mke wako kajiunga vicoba ambavyo ulimkataza,ameshindwa marejesho vitu ndani vimesombwa utawaza hayo mambo ya chumbani eti umuadhibu huko?
Au kafanya uzembe umepata loss ya mamilion,ama kamtukana mama yako mzazi,utawaza hayo...
Ulishobokea mimba isiyo yako,unalazimisha mtoto awe wako,bint matendo yake 100% yanaonesha mtoto Sio wako,naye analijua Hilo anakuona bwg,acha nae endelea na Mishe zako,kosa ulilifany skuile ulipo mwambia boss wake kua inawezekn mimba ni yako ilhal hukutajwa[emoji23][emoji23] umenichekesha,amka...
Sema kipengele Cha (mistake) Kila nilipokua nasoma nkikifikia nlikua natabasamu,umenichekesha Sana mkuu.
By the way.
Kosa huwa tunatenda Mara moja,kaza udondoshe mjengo wa maana itakua kisasi Bora Zaid kwake,achana na ivyo unavyo mdai,chukulia ulidondosha au kuibiwa maisha yaendelee
Mkuu nakua kazn nkitoka ni mazoezin,baada ya mazoez nakua nimechoka hata huo mda wa kuongea na madem kweny Sim night naukosa.
Nje ya Hilo nimejipangia malengo ya mda mfupi na mrefu ya kutimiza yanayo hitaji fedha,hivyo tamaa zikinijia Ninapo kumbuka malengo yangu,naona kutaka sex kutakula hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.