Recent content by clarence.ndyetabula

  1. C

    JamiiForums Tanzania Kangi Lugola, huyu Mama mchungaji anaua watu, anawaambia wasiende Hospitali wasali tu!

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa hiyo akili ya kutoenda hospitali inatoka wapi
  2. C

    JamiiForums Tanzania Watoto watekwa Tanzania

    Hatuwezi kuachia kila kitu kwa hiyo unayoiita serikali, serikali ni mimi na wewe na jukumu letu ni kuwakumbusha viongozi ili wafanyie kazi maswala kama haya wajibu wetu kama watanzania ni kuongea na hao wenye mamlaka kuwaeleza yanayotekea nadhani utakuwa mwanzo mzuri wa wao kuchukua hatua
  3. C

    JamiiForums Tanzania Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

    Maana sahihi ya kichaa inaeleweka nadhani anajua kiwa anaupungufu fulani unaompelekea awe kichaa. He mean it 🤪🤪🤪
  4. C

    JamiiForums Tanzania Fastest and affordable internet connection

    Tupatie technology unayotumia na gharama zake na vifaa Sent from my iPad using JamiiForums app
  5. C

    JamiiForums Tanzania Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    Nakubalina na wewe on my own view sioni faida ya muungano bora uvunjwe tuanze mchakato upya. Zanzibar they are so proud of themselves kwamba hawaitegemei bara but the reality remain there. Shame on the leadership Sent from my iPad using JamiiForums app
Back
Top Bottom