Moja ya malipo ambayo mfanyakazi analipwa pale mkataba wa kazi unapovunjwa ni usafiri kumrudisha mfanyakazi eneo alipoajiriwa.
Swali langu ni je malipo hayo mwajiri atatakiwa kulipa hata kama mfanyakazi ameacha kazi mwenyewe?
Habari zenu wadada!
Utanashati unahusika hivyo naomba kujua ni sehemu gani au duka gani ambalo unaweza pata jeans nzuri na mavazi ya kiofisi.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.