Recent content by Clack-Sniper

  1. Clack-Sniper

    Mchanganuo wa bolt na Gari ya Aqua

    Hiyo faida inaonekana hapo ni baada ya kutoa mafuta. Na pia ninachagua sana maeneo ya kufanya kazi. Sifanyi maeneo magumu 😂😂😂
  2. Clack-Sniper

    Mchanganuo wa bolt na Gari ya Aqua

    Siyo kwa foleni za Dar. Ila ukiwa unaenda safari ambazo hazina foleni hiyo 800km inafika
  3. Clack-Sniper

    Mchanganuo wa bolt na Gari ya Aqua

    Inategemea. Safari za mjini na foleni unaweza pata 600km. Ila safari nje ya mji inaweza kuwa kubwa
  4. Clack-Sniper

    Mchanganuo wa bolt na Gari ya Aqua

    Asubuhi kama mawili hadi matatu. Na jioni kama masaa 2 hivi.
  5. Clack-Sniper

    Mchanganuo wa bolt na Gari ya Aqua

    Ninatamani kupata reference ya wanaotumia Gesi na mafuta kawaida.
  6. Clack-Sniper

    Magari ya Hybrid Kama toyota Aqua

    Naona siku hizi magari ya Toyota aqua hybrid na PRIUS zinaanza kuwa nyingi kama IST hivi. Kila nikipita naziona tu. Nadhani navyo vitaanza kupanda bei soon
  7. Clack-Sniper

    Mchanganuo wa bolt na Gari ya Aqua

    Habari wataalamu wa Magari humu ndani. Hivi karibuni nimetaka kufanya utafiti wa kutumia gari ya Toyota aqua Hybrid kwa ajili ya Bolt, Nafanya part time tu. kwa siku kama 10 nimepata mapato kama hayo hapa sijaweka gharama za service. Mwenye uzoefu wa kutumia gari ya Gesi na mafuta, kama...
  8. Clack-Sniper

    Kwani Kodi za Kuagiza Magari zimeshuka?

    Kuna kipindi ilikuwa hivyo ila ilikuwa ike TRA calculator ya zamani. Siku hizi naona wamebadilisha mfumo unavyoonekana ndio nikawa nashangaa. Kipindi fulani ilikuwa ukiagiza gari gharama za kodi ni sawa jumala na bei ya Gari kufika Dar
  9. Clack-Sniper

    Kwani Kodi za Kuagiza Magari zimeshuka?

    Okay Labda ni kwa baadhi ya Gari. Nilikuwa naangalia hizi Gari ndogo ndio naona kama Kodi imeshuka. Kama hii gari bei yake ni 15M ila kodi yake ni kama 8.xxM tofauti na mwanzo kodi ingekuwa 15M pia Used Toyota Premio 2005 (128,000 km) - TCV (formerly Trade Car View)
  10. Clack-Sniper

    Kwani Kodi za Kuagiza Magari zimeshuka?

    Hii mbona ni mwaka wa mbele kabisa. Ila hii ilikuwa mfano, Ni gari nyingi nimeona hadi za mwaka 2012 Kodi iko chini
  11. Clack-Sniper

    Kwani Kodi za Kuagiza Magari zimeshuka?

    Wataalamu naomba kuuliza kwani gharama za Kodi kwsnye kuagiza Gari zimeshuka au. Maana nimezoeaga kuona ghadama za kodi ni sawa sawa na Bei ya Gari kuagizia. Ila sahizi naona ni tofauti iko Chini Kodi zimeshuka?
  12. Clack-Sniper

    Magari ya Hybrid Kama toyota Aqua

    Okay vizuri ukaenda na Mtaalamu, Mimi binafsi nimenunua mara ya kwanza 2020 Mpaka leo nikyemuuzia bado anayo. Haikunisumbua Ukitaka kuagiza hapa anzia 16M kuendelea, nahisi inaweza panda kulingana na Dola inavyoenda
  13. Clack-Sniper

    Magari ya Hybrid Kama toyota Aqua

    UKiongeza 3.5M pale Jan International (Namanga) Unapata sahivi walikuwa kwenye offer ya Chrismass naona wameuza aina hii nyingi sana kwa hadi 15M,16M
  14. Clack-Sniper

    Magari ya Hybrid Kama toyota Aqua

    Ahaa hii nimeiona redio yake ni tofauti. So nadhani inabidi niishi nayo tu. Siyo mbaya sana
Back
Top Bottom