Wa ndugu! Kulitokea na watu wawili(Wachumba) katika mahusiano matam sana na mazuri! Punde yule msichana akapata nafas ya kwenda kusoma burundi kwa mda wa miaka miwili na kumuacha boy wake tz huku wamepeana ahad ya kutunziana penzi na pendo!. Wakati msichana akiwa masomoni kwel hakuwah msaliti...
Wandugu! Mimi ni kijana wa kiume mwenye cheti cha Clearing and forwardng na cheti cha Maabara! Izo fani ninazo, lakin Kaz ambayo nitafanya kwa aman ya Moyo na kuifurahia n kua mmoja wa Afisa usalama, Wahusika hapa nawaomba Mnisaidie kwa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.