Nashauri Aachane nazo Kwa sababu tatu:
1. Hawatunzi privacy yako. Wanaweza kuwasiliana na watu wako na kukudhalilisha kwao bila kujali chochote endapo ukachelewa kuwalipa au wakakupigia simu hujapokea au hupatikani na wakati wanakutafuta hata kama muda wa Mkopo hujaisha.
2.Riba yao Ni kubwa...
Kulipa ni sawa lakini... Kwenye vigezo na masharti wanayotoa hakuna sehemu inayoonyesha kuwa wataanza kuwasiliana na watu wa mteja wao kiholela Tu na kumdhalilisha. Hii haipo sawa,kama mtu amekataa kulipa kwanini wasimkamate wampeleke mahakamani awalipe? Kupigia watu simu,kuwadai, na kuwatishia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.