Afanye tu vitu vionekane na wala haina haja ya kuwaambia watu eti leo kafanya lile wala kesho nafanya bile wala hata akimtumbua mtu haina haja kujinadi ye apige kazi matendo yananguvu kuliko porojo hatujali kuwa ye ni dikteta wala ubongo mdogo si tunataka matokeo chanya tu
Mi sizani km hao maprofesa kama wameongea kweli hayo.Na kama wamenena hayo wachunguzwe vyeti vyao
Waelewe kwamba mwenendo uko hivi Lissu amekuwa toka mwanzo hatua za kijinga jinga zimazochukuliwa na serikali si sahihi lkn watu na viongozi wao hawafikilii wamamuona punguani sasa wameanza kufanya...
Tulipofanya sherehe kubwa ya report ya makanikia ilikuwa ya uwazi leo imekuwa mambo yanafanyika kisirisiri?
Haya time will tell
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti hadhalani anasema watu walikuwa wanalipwa mpaka milioni 40 amezikata na kupunguza sana anaona ni ujuaji baada ajisifie kuwaongeza mshahara walio na mishahara midogo ye analeta wivu tu, hao watu ni professional bwana wanaweza kwenda kokote wakafanya kazi wakakuachia nchi yako vilevile ukabaki...
Sawa si kwa uelewa wako mdogo ni sawa...na ulinzi ukiwa mkubwa kwa raisi yoyote duniani maanake hofu kubwa sana kwa raisi na dalili kuwa raisi hakubariki si ndio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mwambie hiyo taaluma ni noma aliwahi kuona kuna mwanasheria anahangaika barabarani kutafuta kazi? Mwambie hiyo ni taaluma nyeti! Eti mwingine anasema wawe noted wasipewe ujaji utataka ujaji kwa jpm labda uwe huna akili...jua wasingekuwa wanajihuzuru na anaonekana ana mawazo kuwa jpm atadumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.