Recent content by Cies

  1. C

    Kwenye hii mitandao mnakopa wapi

    Nenda PesaMfinance kachukue pesa za bure
  2. C

    PreGE2025 Je, wabunge watakaoshinda kupitia CHADEMA 2025 watagomea mshahara wa Milioni 18 kwa mwezi?

    Kwa mtazamo wangu concept yake ilikuwa inalenga ni kwa namna gani viongozi wabinafsi, wanajiongezea wao mishahara ili hali watumishi wa umma kama walimu, madoctor, askari n.k kilio chao cha muda mrefu hakifanyiwi kazi
  3. C

    Natafuta nafasi ya kazi au internship

    Haina kufeli kaka
  4. C

    Natafuta nafasi ya kazi au internship

    Kwa mtazamo wangu, cha kwanza mfumo wa elimu wa sasa hauendani na mfumo wa maisha uliopo sababu ni "theory based" na hauwezeshi kupata skills ambazo zinaweza kuendana na mahitaji ya soko la ajira kwasasa. Kwa upande mwingine suala la "Nepotism" limekithiri sana, imefika hatua hata kupata sehemu...
  5. C

    Natafuta nafasi ya kazi au internship

    Kiuhalisia swala la Ajira bado ni changamoto kwa nchi, tunashauriwa tujiajiri ni good point but mtaji unautolea wapi? ukitazama wazazi wameuza karibia assets zote ili uweze kusoma, ukitaka kwenda kukopa bank au kausha damu dhamana ya mkopo changamoto! Sisi kama graduates tunajitahidi sana...
  6. C

    Natafuta nafasi ya kazi au internship

    Nashukuru kaka kwa kunipa moyo
  7. C

    Natafuta nafasi ya kazi au internship

    Habari Watanzania wenzangu! Wakubwa Poleni na majukumu, kijana wenu nimekuja kupitia forum hii kujaribu kutafuta fursa ya kazi au intern ambayo itanisaidia angalau nisikae vijiweni na kuzurura mtaani! Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nimehitimu Shahada ya Uchumi mwaka 2021, naishi Dar...
  8. C

    Machungu ya kukosa ajira

    Mzee naona kama umenizungumzia mimi... yaaan umetembea mle mle... daaah ujobless uskie tu... ni kisanga sana🥲🥲[emoji17]
  9. C

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Education [emoji830]︎ Bachelor of Science in Economics Experience [emoji830]︎ Field Practical - 6 months [emoji830]︎ Sales Representative - 18 months Skills [emoji830]︎ Communication skills and Customer care [emoji830]︎ Computer literate in Microsoft Office Applications [emoji830]︎ Research...
  10. C

    Job opportunity

    Mkuu habari, naulizia kama kuna nafasi nyingine ya kazi?
  11. C

    Msaada: Kujaza kwenye TAESA kwenye ku-submit cv pananisumbua

    Kama upo karibu na ofisi zao, nakushauri wafate kuna wataalamu wa IT ofisini kwao watakusaidia!
Back
Top Bottom