Recent content by chumanil

  1. chumanil

    Nimechimba kisima kwa 5.8mil nasambaza maji mtaa mzima; Nashangaa miradi ya Serikali huwa inakwama wapi

    Ongera mkuu.pia mungu akuzidishie ktk hilo.kwani umefanya kitu kikubwa sana.na yeyete atakae kuja na nia mbaya na ww au kisima hiko m/mng ampe balaha.
  2. chumanil

    Nchi gani ni bora zaidi kwa matibabu ya binadamu?

    Cubu,kira nyumba moja ya pili kuna doctar bingwa. Ishu unaumwa nini.So!uwendako ni kule ambako kuna mabingwa wa ugonjwa huo.ni ngumu kupata jibu sahihi.
  3. chumanil

    Ni hatari kwa afya yako kuweka wallet kwenye mfuko wa nyuma

    Wenda ikawa kweli,maana toka nimeaza maiaha ya kujitegeme naweka waleti ktk mfuko wa nyuma wa jeans,sometimes nahisi kario limebonyea.sasa DAWA YAKE NN? Tuweke waleti katika mfuko wa rambo na kushika mkoni? Mana ninyi wasomi kira kukicha mnagundua madhara tu.
  4. chumanil

    Mfumuko wa bei umeshuka kwenye bidhaa zipi?

    Sabuni kichelema kwetu 1000/= Dagaa uchungu fungu 10000/= Nyanya moja 300/= Jamani hii hatari. Sukari 28000/= Bei imeshuka wp??
  5. chumanil

    Ni mwenye akili za kuelewa tu ndio ataelewa nukuu hii

    Ulicho andikaa kimesoma. Nakicho somekani kimeheleweka...
  6. chumanil

    Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

    Kweli we jini...hahahah
  7. chumanil

    Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

    Kama ulivo sema mtOa mada"MAPENZI NI UPOFU", Naima kwa sasa UMEONA. kuumia moya cyo kufa,pia tambua mwisho wa jambo ni mwanzo wa jambo jema.
  8. chumanil

    Kifaa kipi ni zao la mtanzania ambacho kinatumika duniani kote?

    Nimetolea mfano ulaya Kwa 7babu. Na unajua ila unajisauliasha.@Tzu mbongo
  9. chumanil

    Wanawake mtuhurumie wanaume

    Tuanze kwa kumshukuru m/mng kwa kutupatia pumzi cku hii ya leo.Wapo wenzetu,wanao pigania uhai wao maospitarini,wapo walio tanguria mbele za khaki.Rakini yote ni mipango yake mola wetu.Turudi mada kuu. Nawaheshimu sana wanawake,rakini katika hili hapana.Mna jua nusu ya maisha yenu ni...
  10. chumanil

    Naomba ushauri: Nimemjibu vibaya mama mkwe mtarajiwa kutokana na hasira

    Pole sana!Najua kwa sasa unamawazo Tele.kiukweli ulikosea sana,rkn hakuna budi kwani maji yakisha mwagika hayazoleki.chakufanya Mtafute mtu wa makamo,mwenye heshima zake,na umuambie mwanzo mwisho wa mkasa huu.naimani kupitia busara za mzee huyo utapata msamaha.pole
  11. chumanil

    Kiza hutengeneza maumbo?

    Mtoto wangu anakubwa sana na tatizo hilo,LA kuota ndoto za kutisha. KUAZI LEO NITAMUAMBIA ASIZIME TAA KABISA ASANTE KWA UZI HUU.
  12. chumanil

    Kifaa kipi ni zao la mtanzania ambacho kinatumika duniani kote?

    Siwezi kuizungumzia nchi za ngambo nikiwa sipo huko.pia sijafanya tafiti juu hilo.
  13. chumanil

    Marehemu wengi hurejea baadhi ya sehemu walizofia?

    Asante@mshana Jr. Napata faida kubwa kupitia ww,huo ndo utofauto wko na member wengine.ushari,busara nk..
Back
Top Bottom