[emoji2] [emoji3] [emoji1] Tatizo vijana wanaovaa milegezo hawajui historia mkuu wao wanarukia makala tuu sawa na kurukia train kwa mbele nimecheka sana
Mimi bado sijakuelewa unachanganya changanya mambo kwa kifupi unarukaruka kama chura hii habara haijanyoka
Ina maana hukutaka warudishwe kazini? Wewe mwenyewe ni darasa la saba kwani hii habari ulioandika hapa haina mpangilio
Acha kumpotosha mwenzio na mistari ya biblia huku wewe unampekua mwanamke unatafuta nini sembuse aliemzaa hakuweza wewe unakuja huku kumpekua ukubwani acha uform one wewe kwanza nyie ndo mnaopigiwa kwenye duka la mpemba kwenda kununua nazi au maboss na waosha kucha saloon jipange upya
Ha ha ha ha sembuse watu humu wananunulia wake zao vifuniko vya asali na bado kuna midubwana inazivua na kuendelea kula asali bila mwenye mzinga kujua sasa yeye anakuja huku na kisimu alichomnunuali mkewe cha kichina kulalama
Sasa wewe ni hatari inaelekea hata unatabia za kunusa nguo zake za ndani na kukagua hayo maeneo sio fresh kukagua simu ya mkeo ni sawa na kufufua makaburi ya zamani kujua alikuwa anafanya mapenzi na nani utoto ni au kupenda kumjua Ex boy friend wake utakufa brow achana na biashara za kupekua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.