Habari za muda huu wanajamii Forums. Kwanza kabisa napenda kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehema alineyetujalia uzima.
Sasa nijielekeze moja kwa moja kwenye mada yangu. Kutokana na mwaka wa Jana kuwa kulikuwa na hali Nzuri ya hewa nilifanikiwa kulima zao la kunde cha kumshukuru Mungu...
Ahsante kwa kuendelea kuficha Fulsa ya moka wa lindi sisi tulioshitukia chimbo mapema tunaendelea kutajirika, tunajenga majumba Dar, mnapanga ila hamjui wamiliki tunatoa wapi pesa.[emoji23][emoji23]
Pikipiki sasa zinakokotwa kama baiskeli, bodaboda wahaha! Bei yapaa kwa wauzaji wa videbe.
Inasemekana kuna mgomo wa wamiliki wa vituo vya mafuta. Hawaridhiki na bei ya sasa.
Vipi hali ya upatikanaji wa petrol kwa upande wako huko uliko mwana jukwaa mwenzangu?
Pia soma > Wilaya ya Ngara...
Faida ya muungano ni kubwa sana sema haijawahi kutajwa hadharani siku nikiwa nimelewa nitawajuza nilichoking'amua kwamba kwanini zanzibar haipewi kuwa nchi huru. Lakini kwa faida yako tu kunamaswali mawili nitakupa ukijijibu tu utakuwa umepata walau ufaham.
1. Nini kilichomtoa sultan Muscat Oman...
Habarini wakuu wa JamiiForums
Nimekuja katika jukwaa hili kuleta fursa yangu ya kuku. Nimefanikiwa kufuga kuku wengi sana sasa kama mnavyojua baada ya kufanikiiwa katika hatua ya kwanza sasa nataka kusafisha banda kwani kuku nilionao naona wamefikia idadi ya Malengo yangu.
Kwa wale...
Habari wana JamiiForums wenzangu
Kwa wale mliofunga mfungo wa mwezi mtukufu salaam alaikum
Leo nimekuja mbele yenu tujadili Kidogo mambo makuu mawili jambo la kwanza ni juu ya kikokotoo cha pension cha wastaafu na matumizi ya kikokotoo kipya.
Ndugu wanaJamiiForums najua katika ukurasa huu kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.