TANZANIA NA BENKI YA DUNIA WAJADILIANA UTEKELEZAJI MPANGO MAHSUSI WA NISHATI WA MISHENI 300
📌 Mhandisi Mramba aeleza hatua zinazochukuliwa na Serikali kutekeleza Misheni 300
📌 Benki ya Dunia yapongeza
📌 Yaahidi kuendelea kuiunga mkono Tanzania
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi...
DKT. BITEKO AZINDUA MKAKATI WA TAIFA WA MAWASILIANO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
📌 Aagiza usiishie kwenye makabati; ukatekelezwa katika ngazi zote za Serikali/Wadau
📌 Atoa wito kwa vyombo vya Habari kuwa mstari wa mbele uhamasishaji wa Nishati Safi ya Kupikia
📌 Asema Ajenda ya Rais Samia...
TANZANIA NA JICA KUSHIRIKIANA KATIKA KUJENGA UWEZO MATUMIZI BORA YA GESI ASILIA
Wizara ya Nishati pamoja Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) wamesaini makubaliano ya kutekeleza mradi wa kujengea uwezo Wataalam wa Wizara na Taasisi zake katika eneo la kuendeleza matumizi bora ya...
MIRADI YA KIMKAKATI YA NISHATI KUIMARISHIWA ULINZI
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent Bashungwa wamekutana kwa ajili ya kupanga mikakati ya kuimarisha ulinzi kwenye miradi ya kimkakati inayosimamiwa na Wizara ya Nishati.
Kikao...
MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE WAFIKIA ASILIMIA 80.2
Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha umeme wa kiasi cha megawati 2,115 umefikia asilimia 80.2
Naibu Waziri Byabato ameyasema hayo tarehe 17...
Hivi mnafikiri wataelewa Sekta inaendeshwa vipi Kama siyo kwa kuita wataalam na kuwaeleza kile wanachofanya. Kupitia semina wabunge wanafahamu pia changamoto zinazoikumba Sekta ili waweze kuzitatua. Shida mnawaza posho tu.
Shilingi Bilioni 38 kurekebisha hali ya umeme wilayani Urambo
Waziri wa Nishati,Mhe. January Makamba ameeleza kuwa, Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 38 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha kupoza umeme wilayani Urambo Mkoa wa Tabora pamoja na njia ya kusafirisha umeme ya kV 132 kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.