Fanya hivi kaka wewe tafuta mtu anaehitaji housegirl then mpatie na uhakikishe anapewa kie kiasi ulichopatana nae wewe kuepusha ugomvi na mke wako, kuwa makini sana na mke wako, kwanza kampime utakuwa ushaweka mimba huyo mke ila hamjijui bado.
mimi sijui may be wewe kama unafanya kazi bank utueleze kwasabau mimi nilishamwambia mkichelewa kutoka na jiji letu hili si mnaweza vamiwa huko ndani ila ananijibu vingine vikao,mafail na viongozi ilimradi nitulie
Samaritan nasema hivi kwasababu lafiki yangu alinionya coz lilimkuta kama hili ila kwakuwa tulikuwa wote tuko chuo na sikuona tatizo, sasa usemi wa rafiki yangu nauona kweli kuwa wanawake wota wa bank hasa loan officer ni wahuni
muhomakilo jr nadhani hujawahi penda, nilitamani niingilie kati yao ila kutokana na ninavyo mpenda na kumweshimu niliamua kukaa kimya na kuludi nyumbani. ila sidhani kama ntaweza vumulia bora nisake mihela yangu nimwache ataamua mwenyewe baada ya kuona kimya kirefu.
Jamani kuna kazi mtu ukiingia ni lazima uwe mhuni au ni tabia za watu. Huyu demu wangu kila siku anaingia kitaa sa tatu usiku then analetwa na lifti ya workmate wake tena wa kiume sasa nimejalibu kuchunguza 98% ya muda wao wa kazi wako pamoja mpaka lunch kila siku vikao. Jumapili moja sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.