ni umasikini tuu ila ukweli kabisa mke yafaa akae nyumbani alee familia!!!!halafu sijapata ona tajiri ambaye mke wake ameajiriwa,watu wote waliofanikiwa ktk maisha wake zao sii waajiriwa
Jamani kuna kazi mtu ukiingia ni lazima uwe mhuni au ni tabia za watu. Huyu demu wangu kila siku anaingia kitaa sa tatu usiku then analetwa na lifti ya workmate wake tena wa kiume sasa nimejalibu kuchunguza 98% ya muda wao wa kazi wako pamoja mpaka lunch kila siku vikao. Jumapili moja sasa ambayo ndo moyo wangu uliumia ni pale nilipokuta wako eneo la starehe na jamaa wakila cone tena wako wenyewe bila maoficer wengine kujakumuuliza kanidanganya eti alikuwa kwenye kikaoo wakubwa zake walikuja. Embu ushauri jamani nijiondokee taratibu au nimweleze ukweli
muhomakilo jr nadhani hujawahi penda, nilitamani niingilie kati yao ila kutokana na ninavyo mpenda na kumweshimu niliamua kukaa kimya na kuludi nyumbani. ila sidhani kama ntaweza vumulia bora nisake mihela yangu nimwache ataamua mwenyewe baada ya kuona kimya kirefu.
ni umasikini tuu ila ukweli kabisa mke yafaa akae nyumbani alee familia!!!!halafu sijapata ona tajiri ambaye mke wake ameajiriwa,watu wote waliofanikiwa ktk maisha wake zao sii waajiriwa
Jamani kuna kazi mtu ukiingia ni lazima uwe mhuni au ni tabia za watu. Huyu demu wangu kila siku anaingia kitaa sa tatu usiku then analetwa na lifti ya workmate wake tena wa kiume.................... nimweleze ukweli
ni umasikini tuu ila ukweli kabisa mke yafaa akae nyumbani alee familia!!!!halafu sijapata ona tajiri ambaye mke wake ameajiriwa,watu wote waliofanikiwa ktk maisha wake zao sii waajiriwa