Valeur izo zimepanda kichwani unasema counter anakumezea mate kumbe anakushangaa jinsi ulivyo umemeza chupa mzima na kinusu na fegi juu uyo dada anakuchora tuuu any way valeur haijawai kukuacha mtu salama punguza ulevi ndugu
ahhahahah ndugu GENTAMYCINE hiyo ni kweli ayo mambo yapo sana hasa uko maeneo ya makazini au kwenye mkusanyiko wawatu fulani utasikia maswali yao unasubiri nini kuoa umri unakwenda huo tafuta ata changudoa muweke ndani uishi naye shauri yako.........mimi huwa nacheka tuuu mtu hajui ata status ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.