Recent content by christopher mkwama

  1. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Sawa mkuu
  2. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Sawa mr chopa ngoja nisubir
  3. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Wanapandwa na jogoo. Pia huwa nawatoa nje nawaachia wanazunguka then nawaludisha ndan.
  4. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

  5. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

  6. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Wanamiez mitano na wiki 2
  7. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Hawajanenepa sana. Dagaa nawapa 10kg kwenye mchanganyo wa 100kg za chakula
  8. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Kunamtaalamu mmoja aliniambia eneo ninalofugia ni dogo. Mtaalamu mwingine kanambia eneo lako ni kubwa sana. Ok Banda linaukubwa wa ft6 upana ft14 urefu ft8 kimo.na eneo la kucheza ni ft10×10. Kwa Kuku mia hilo ni banda dogo au kubwa? Wadau
  9. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Haaahaaahaa .....@dagii
  10. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Ninchanganya mwenyewe Pumba za mahind Mashudu ya alizet Dagaa Premix layer Mifupa
  11. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Wote wapo sehem moja mku
  12. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Majogoo machotara pia
  13. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Kuku wangu hawatagi?

    Wadau ninaomba ushaur. Baada ya kusoma sana humu jf kuhusu ufugaji wa kuku faida na changamoto zake. Nikaamua nianze kukufuga Kuku chotara.kwa sasa Nina tetea 60 na majogo 10 wanao panda ambao nilitegemea waanze kutaga mwez 11/2016 lakin mbaka sasa wanatetea tu hawatagi. Naomba ushaur nifanye nn?
  14. christopher mkwama

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    mama joe mungu akubaliki sana
Back
Top Bottom