Kunandugu yangu ametokea hapo muda huu.
Anasema amekuta issue hawajabandika na alipojaribu kuwaona wausika,wamemwambia wanaweza wakatoa Jumatatu.
Yeye mwenyewf akachoka na ratiba zao zisizoeleweka,akaamua kuondoka lakini anadai kuna wanafunzi wengi wamekwenda kuulizia kuhusu.
Nahisi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.