Recent content by christopher kipeke

  1. C

    Daktari jijini Mwanza afia gesti jijini Dar

    He was my School mate at Mwakaleli High School,and I remember one day 2012 we saw each other at VILLA PARK Mwanza.We enjoyed a lot as you know if you meet your school mate whim you lost morethan 10yrs,at that time he was working Bugando Medical Center.He was very cool and very charming person.We...
  2. C

    Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

    Nafikiri kuna haja Serikali katika mitaara ya Elimu za Msingi na Sekondali,kuna haja ya kuingiza Somo la Uzalendo.Maana kuna baadhi ya watu kwenye mambo hata yanayohusu Nchi yetu wao utadhani sio watanzania au hata kama ni watanzania lakini mawazo yao utadhani sijui PUNGUANI.Usipokuwa na uchungu...
  3. C

    Katibu Mwenezi wa CHADEMA Jiji la Mbeya, Lucas Mwampiki ajiuzulu

    Tatizo la sisi wabongo mtu akiamua kujitoa kwenye mambo kama hayo mnasema mamluki,lakini anapokuwa bado yuko kwenye gemu na matatizo yakiendelea kuizonga chama au jamii mtamuona hana faida maana ana ng'ang'ania madaraka alafu anashindwa kutimiza majukumu yake.Mwampiki ameona kuliko kuonekana...
  4. C

    Edwin Mtei asikitishwa na alaani kitendo cha Tundu Lissu kumtukana Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

    haiwezi kupitiwa kutokana wao wanamuona kama nabii kwao,mwache alibolonge wenye akili wanamuangalia
  5. C

    Mtanzania aliyekamatwa na madawa ya kulevya Dubai amlaumu mumewe

    Utawala goigoi unahusiana na nini hapo?Mbona mnapenda kuchanganya mambo jamani?Nchi gani unayoijuwa wewe yenye utawala ngangari alafu hakuna madawa ya kulevya?Suala la madawa ya kulevya ni janga la dunia kama unavyoon ukimwi.sasa watu kujiingiza kwenye matumizi na biashara hiyo ni tamaa zao za...
Back
Top Bottom