Recent content by chriss sylivester

  1. C

    Wanawake, wapi tunakosea kuwaandaa wakati wa tendo?

    1) Huwa tunakosea wapi kwenye kuwaandaa katika swala zima la kuelekea katika kufanya mapenzi? 2) Nyie mnapenda tuwe tunawaandaaje, na nini hamkipendi tukifanye tunapowaandaa? Yale maneno ya pembeni muyaache, semeni ukweli watu tuache ujuaji.
  2. C

    Leo natamani kusikia kutoka kwenu wadada

    Usemalo ni sawa na sahihi ila kuna mengi usitarajie uta ambiwa ukweli ila kwenye public utajua mambo mengi zaidi yana fungua macho watu wengi zaidi
  3. C

    Leo natamani kusikia kutoka kwenu wadada

    Leo natamani kusikia kutoka kwenu wadada, kuna mambo ambayo sisi wanaume tuna yafanya na yamekuwa kero sana kwenu ila mnashindwa kutuambia. Leo tupo hapa kusikiliza vitu ambavyo huwa tuna wakera ila hamtu ambiagi kwenye mahusiano.
  4. C

    Kwanini mwanamke analeta wivu, ikiwa alikataa aliotongozwa?

    Inaweza ikawa afu mimi nikawa sijalewa labda
  5. C

    Kwanini mwanamke analeta wivu, ikiwa alikataa aliotongozwa?

    Kwanini unakuta unamtongoza mdada na unampenda kweli, ila anakukatalia ila muda umeanzisha mahusiano mengine analeta hisia za wivu au kutaka kukuharibia wakati yeye alikuwa kataa
  6. C

    Faida/umuhimu wa kuwa na rafiki

    Urafiki ni muhimu katika maisha yetu kwa sababu unatoa fursa ya kuwa na watu ambao tunaweza kushiriki nao maisha yetu, kugawana hisia zetu na kupata msaada, kujifunza mengi kutoka kwao na kuwa na watu ambao tunaweza kuzungumza nao wakati wa furaha na dhiki. Hapa kuna sababu kadhaa kwa nini...
Back
Top Bottom