1) Huwa tunakosea wapi kwenye kuwaandaa katika swala zima la kuelekea katika kufanya mapenzi?
2) Nyie mnapenda tuwe tunawaandaaje, na nini hamkipendi tukifanye tunapowaandaa?
Yale maneno ya pembeni muyaache, semeni ukweli watu tuache ujuaji.
Leo natamani kusikia kutoka kwenu wadada, kuna mambo ambayo sisi wanaume tuna yafanya na yamekuwa kero sana kwenu ila mnashindwa kutuambia.
Leo tupo hapa kusikiliza vitu ambavyo huwa tuna wakera ila hamtu ambiagi kwenye mahusiano.
Kwanini unakuta unamtongoza mdada na unampenda kweli, ila anakukatalia ila muda umeanzisha mahusiano mengine analeta hisia za wivu au kutaka kukuharibia wakati yeye alikuwa kataa
Urafiki ni muhimu katika maisha yetu kwa sababu unatoa fursa ya kuwa na watu ambao tunaweza kushiriki nao maisha yetu, kugawana hisia zetu na kupata msaada, kujifunza mengi kutoka kwao na kuwa na watu ambao tunaweza kuzungumza nao wakati wa furaha na dhiki. Hapa kuna sababu kadhaa kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.