Wapendwa nawasalimu kwa jina la Bwana!
Kama heading inavyojieleza hapo juu.
Natafuta mwanamke ambaye ana utayari na maisha ya ndoa. Sifa za mwanamke nimtafutae ni kama zifuatazo:-
1. Awe anampenda Yesu (Namaanisha awe ameokoka au awe mcha Mungu). Anaweza akawa mlokole au mkristo wa Roman au...
Yaani mkwe.re alikuwa msanii kupita kiasi....Tz haikuwa na Rais for 10 yrs, huyu jamaa nadhani uwezo wake ulikuwa mdogo sana lakini tu mpenda vyeo na misifa.....Nakumbuka pale UDSM Dr. mmoja aliwahi kuniambia GPA aliyopata mkwe.re pale chuoni...hata aombe kusoma master degree hawawezi kumu-admit...
Okay, sasa akishaenda huko wewe itakusaidia nini? acha ujinga wewe! fanya shughuli zako muhimu zikuingizie kipato sio unakazania vitu ambavyo huna tija navyo...utaendelea tu kuwa maskini kwa kushikilia bango vitu ambavyo havikuletei faida yeyote.
Wabongo sometmies hopeless kabisa, sasa aliposema anaomba msamaha kwa alichokisema...mmefaidika na nini? yaani manshikia bango vitu ambavyo ni nonesense kabisaa....ndio maana nchi haiendelei
Mtu akiteuliwa maana yake tayari kuna vetting ya kutosha imefanyika...sasa kinachotakiwa tulieni muone anavyofanya kazi. kumbukeni hizi sio enzi za Jk kuangalia udini au uswahiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.