Recent content by chris mushendwa

  1. chris mushendwa

    Ujio wa TB. Joshua kwa mualiko wa CCM una maana gani?

    TBjoshua hawezi kuja Tanzania kwasasa wala hakuna mtu yyt ndani ya Tanzania , Africa, ulaya, America, Asia etc anaye weza kumwalika Tbjoshua kisha akakubali kwenda! Marais wengi wamempa mialiko ktk nchi zao hajawahi kukanyaga! Kwasasa Tbjoshua yuko ktk faragha na hajaonekana hata ktk ibada za...
  2. chris mushendwa

    Usipofuta kwa kitambaa, utafuta kwa kitaulo au kanga yako

    Kaishauri serikali isimamie uchaguzi kwa haki! Mpaka sasa ukawa wamefanya mikutano yao mikubwa na midogo kwa Amani! Hivyo sehemu hiyo ya mwisho ni mamlaka zinahusika! Wananchi na vyama vimeshatimiza wajibu wao!
  3. chris mushendwa

    Stop press: Tanzania yapeta tena katika mpango wa kupata mabilioni ya MCC

    All in all Lowassa is the next president , JK hakuchaguliwa kuwa ombaomba, nchi inakila kitu! None sense
  4. chris mushendwa

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    Kuomba kura kwa walutheri inalingana na wizi unaofanyika serikalini!!!
  5. chris mushendwa

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    video inasambaa kwa kasi mitandaoni kuhusu udini wameedit lowasa akisema naomba kura za waluteri isikilizeni vizuri inasauti mbili!
  6. chris mushendwa

    Angalia Mmarekani alivyowananga Watanzania na vijitamaa tamaa vyao

    Kuna kaukweli flani lkn hiyo English hajaandika muamerica! English ya mkenya, mtz, mganda, mnigeria, msouth , UK , India au America inatofautiana katika kuunganisha au kuelezea jambo flani!!! Huyo ni mtanzania pure !!!
  7. chris mushendwa

    UKAWA wapigwa mbele na nyuma na kila kona

    Mpaka sasa ukawa washamaliza kampeni, watz washaamua na wanaona oct 26 mbali
  8. chris mushendwa

    Kwanini Huenda UKAWA Wameshashindwa Uchaguzi Huu Kabla ya Kufanyika!!

    Mpaka sasa hivi ccm ndio waneshashindwa uchaguzi vibaya sana, ndio wanakimbia kufanya mikutano mingi wakati ukawa hawana pressure! Ukawa ilishafanya kampeni inasubiri uchaguzi mengine ni kutimiza ratiba!!!
  9. chris mushendwa

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Kasomeni historia ya Musa vzr, Musa alimuua mmisri mpaka alikimbilia kuishi uhamishoni kwa miaka mingi,katika maaana hiyo Musa hakustahili kuwa kiongozi wao, kilichotokea nikuwa Mungu alimwamini akampa majukumu!!! Hivyo kuwa na mapungufu hayanyimi furusa , no 1 is perfect!
  10. chris mushendwa

    Mfumo ule ule unataka kurudi kupitia UKAWA!

    Propaganda zimeshafail,
  11. chris mushendwa

    Paul makonda: Bara bara za Kinondoni zimejengwa chini ya kiwango na ni wizi Mtupu

    Barabara zikishafika kiwango cha kuwekwa lami, wizara ya ujenzi utuma wataalam kukagua,kushauri na kutoa maelekezo,hivyo Magufuri anausika
Back
Top Bottom