Yesu ambaye waarabu anamwita Issa ni noma.
Wakristo wanamuamini kwa njia yao
Waislamu wanamuamini kwa njia yao
Yeye mwenyewe aliwahi kuwauliza wale mitume wake kuwa " watu husema ya kuwa mimi ni nani? Kila mmoja akaja na majibu yake. Kisha nayeye akawauliza na nyinyi mnasema mimi ni nani?
Kwa logic tuu ya kawaida
Hiyo Quran mnayodai imeshushwa ikiwa na habari ya mussa, ibrahimu, Yesu nk, iliikuta Biblia ilishaandika hizo habari karne nyingi tuu zilizopita ( copy and paste)
Hakuna ushahidi wowote wa kihistoria au ki theolojia kwamba uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad isipokua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.