Ng'ombe wa maziwa ukiwanao 4 tu wanaoweza kutoa lita 10 kwa siku kwa kila mmoja ambao ni chotara unatengeneza hela nzur tu.
Kama haufugi au haujawahi kufuga ng'ombe wa maziwa utaona hizo ni kama hadithi tu lakin ukweli wanalipa.
Kuna mzee nipo nae mtaan ana ng'ombe 1 anauwezo wa kutoa lita 10...
Ww unao wengi changanya ya dukan na hiyo Mimi si subir kuku aumwe ndio nimpe dawa hii aliniambia Vet wangu, kwa hiyo kwa week hizo dawa lazima wanye ata mara 1 au 2 kwa siku.
Tumia mwarobaini ata mara 1 kwa week unatwanga alafu unachuja unawekea.
Mimi sinunui dukani natumia hiyo mwaka wa 3 huu nilishaachaga kununua dawa, natumia mwarobaini na majani ya mpapai basii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.