Wadau. Salam.
Hivi TARURA mmejiangalia na kujitathmini jinsi mnavyokamua wananchi pesa?
Ngoja niwape scenario. Mfano mimi nimeenda kupaki gari pale makumbusho nje ya jengo la LAPF, Mdada wa parking kaniona kapiga picha kaniandikia deni. Baada ya kupiga picha yeye anaondoka anaenda upande...
Somo zuri sana. Ila naomba uhakiki katika hili. Je naweza kuogea nara mbili au zaidi kwa siku kwa siku saba then nikaendelea siku ya nane? Au naoga mara moja kwa siku na kwa siku 7 tu au 14
mi
sijui hata watanzania wameingiwa na pepo gani yaani. who is mange?? yani ukimkosoa mange kila changudoa wa kike kwa wakiume watakukosoa.like wtf is she
mihemko itawaua kabla ya siku zenu maana mada hamzijui mnaparamia. uwezo wa kufungua account jf usijione ndo una uwezo wa kupembua mambo. muwe mnasoma sentensi mkazielewa. inaonesha akili zako ziko sehemu gani ya mwili yaani mna irrational ways of thinking! mi nimeongelea swala la mange na...
Ningeshangaa, lol! sitaki kujua mwalimu wako wa shule ya msingi alitumia mda gani kukuelewesha vya darasani tu maana unakurupuka kama mahindi ya bisi kikaangoni.ila siku nyingine uwe unamjibu alie comment maana hata huyo uloenda kumdandia hujui kacomment kwa maana gani. so kilichokukera ni...
and about lulu nlikua sijagusia, dada yenu mange angeachia tu ushauri hapo kwamba mdogo wangu liz just chill off the social media for now basi angeeleweka, khaa akaanza kueleza mapungufu ya jinsi wanasheria wanavofanya kazi (laughing out loud)yani huyu dada is a know-it-all as if amepitia hata...
the funny part about psychology, ukishajua kuudanganya moyo utasogeza miaka kadhaa ya kuishi of which mange thinks anasogeza ya kwake kwa ku bully watu. the problem is, people think that mange is their hero na hivi nnavoongea wapo watu watapanic kwasbb hawajui ukweli. wengi mmemjua mange 2015...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.