Recent content by Chosen Rich

  1. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Kaka baridi za pande hizo hazipambwi, Zinachapa kweli kweli wala sio pa kujaribu, Zinafinya haswa tena haswa
  2. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Chukua hatua,
  3. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Wewe utulie tuu sikilizia hiyo hali hadi ipotee
  4. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Hiyo hali ya nguvu hasi inapokuvamia usishindane nayo, Tulia uwe kama mtu anayeshuhudia mwilini Mwako, Yani badala ya kufuata mnyororo wa mawazo hasi yanayoletwa na akili yako, elekeza umakini wako kwenye uhalisia wa mwili…Hisi kifua kinavyobana, mapigo ya moyo yanavyoenda kasi, au tumbo...
  5. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Kumbe inawezekana kuondoa kabisa!
  6. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Absolutely right
  7. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Kiumbe chanya yupo pia ila nataka uelewe kupitia huu mfano Fikiria viumbe hivi viwili kama mabondia wawili waliopo ndani yako bondia Hasi umekuwa ukimlisha na kumpa mazoezi tangu utotoni (kila unapowaza makosa ya nyuma, kila unapokasirika, unapofuatilia drama, na unapowaza hofu kuhusu kesho)...
  8. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Hakiwezi kufa kabisa chief, kwasababu kina asili ya kibiolojia na kisaikolojia, Sisi ni binadamu, si roboti, Kwahiyo mfumo wetu wa neva na akili uliumbwa kuhifadhi kumbukumbu za maumivu na hatari ili kutulinda…Kumbukumbu na maumivu yote ya nyuma yaliyotengeneza hicho kiumbe bado yapo kwenye...
  9. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Cha kufanya ni hivi ile hali ya giza au hasira inapoanza kupanda, usikimbilie kwenye simu, Kunywa pombe, au kuanza kugombana…Tulia na ujiambie "Ah! Kiumbe cha maumivu kimeamka sasa hivi" Kishuhudie Mwilini Mwako, Yani badala ya kufuata mnyororo wa mawazo hasi yanayoletwa na akili yako, elekeza...
  10. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Kiumbe kinachokula nishati yako (The Pain-Body)

    Uliwahi kugundua kuwa kuna siku unaamka ukiwa na furaha na amani tele, lakini ghafla baada ya saa chache labda kwa sababu ya neno moja dogo uliloambiwa, au wazo moja tu baya lililopita kichwani unajikuta unadondokea kwenye giza nene la hasira, huzuni, au unyonge ? Hiyo hali haitokei kwa bahati...
  11. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka

    Lazima utengeneze utambulisho boss, Yani baada ya muda wewe uwe bingwa wa nguo za watoto umri Miezi 0-12 Uuze hisia kwa watu, Yani ifike hatua ambayo mzazi yeyote akifikiria nguo za watoto wachanga jina la kwanza kichwani linakuja la kwako.
  12. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Acha kuuza mchanganyiko unapoteza muda, akili na Pesa zako, shtuka

    Mchango wako ni upi boss, Ongezea nyama kidogo tupo kujifunza
  13. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Nimepata mpinzani kwenye biashara yangu mbinu gani niitumie kumu-overcome

    Weka bango sehemu ambayo wateja wanaona vizuuuri andika hivi “ UBORA ULIOTHIBITISHWA”
  14. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako ni hatua kwangu Biashara gani ya kimkakati kwa mtaji wa Milioni 30

    Kwenye hiyo million 30 tumia million 10 tu Tafuta wamiliki wa flemu za biashara, Ambazo zipo karibu na maeno yaliyoendelea tayari lakini hazina hadhi nzuri, Ingia mkataba nao, Rekebisha fremu kuwa za kisasa ili kuongeza thamani, Ongeza kodi inayoendana na thamani mpya, Kula maisha kaka
  15. Chosen Rich

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Kaka niletee Smartphone yako iliyotengenezwa na mashoga nimeiwahi, Usisahau charger na powerbank kama upo nayo
Back
Top Bottom