Germany, Na nchi nyingi bara la ulaya wanautambua uchawi, Na kipo chuo cha uchawi ( Humo wanafundishana rituals na mambo mengi )
Kwahiyo tengua kauli kuwa ni Africa na Asia
Mwanzo nilijua ni muajiriwa, Ila kwakua unafanya biashara, ( Biashara ni ukuaji )
Mimi nadhani ni vyema ungeomba mawazo ya kupata strategies nzuri kwenye biashara yako ili kuipanua ikuletee matokeo unayoyataka
Nina eneo ambalo nimenunua million 3.5 mwaka 2023
, Sijajenga bado lakini sehemu zote ambazo imenizunguka wameshajenga tayari, Nyumba za kisasa haswa
Mwezi wa 1 jirani ambaye ameshajenga tayari alinifuata ili nimuuzie eneo langu, Offer yake ilikua million 25 akapanda hadi 30 NILIKATAA...
Unamaanisha majengo hayatakiwi kuchoka ? Nini maana ya kufanya repair ?
Wewe unahitaji uwekezaji ambao gharama ya uendeshaji ni 0% ?
Kama upo uwekezaji wa namna hiyo share hapa
Nimekuelewa vizuri sana, Lakini nahitaji kuelewa kwa kina
Gape inakua ni kati ya Africa na Matataifa mengine ? Au walio na akili na wasio na Akili ?
Msingi wa swali ni baada ya “Africa” kuwa mentioned
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.