Recent content by Chosen Rich

  1. Chosen Rich

    Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Mwanzo nilijua ni muajiriwa, Ila kwakua unafanya biashara, ( Biashara ni ukuaji ) Mimi nadhani ni vyema ungeomba mawazo ya kupata strategies nzuri kwenye biashara yako ili kuipanua ikuletee matokeo unayoyataka
  2. Chosen Rich

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Nina eneo ambalo nimenunua million 3.5 mwaka 2023 , Sijajenga bado lakini sehemu zote ambazo imenizunguka wameshajenga tayari, Nyumba za kisasa haswa Mwezi wa 1 jirani ambaye ameshajenga tayari alinifuata ili nimuuzie eneo langu, Offer yake ilikua million 25 akapanda hadi 30 NILIKATAA...
  3. Chosen Rich

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Unamaanisha majengo hayatakiwi kuchoka ? Nini maana ya kufanya repair ? Wewe unahitaji uwekezaji ambao gharama ya uendeshaji ni 0% ? Kama upo uwekezaji wa namna hiyo share hapa
  4. Chosen Rich

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Unahitaji elimu ili upate maarifa ya kutosha, Utakua na taarifa sahihi juu ya uwekezaji wa namna hii na utabadilisha mtazamo wako
  5. Chosen Rich

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Inategemea uwezo binafsi wa mtu katika kuratibu au kupanga mikakati, Binafsi yangu ndani ya mwaka hadi miaka miwili naweza kurudisha hiyo pesa
  6. Chosen Rich

    The dark side of business

    Kwa mujibu wa maelezo yako ya mwanzo, Ulisema madai haya yapo Africa pekee.
  7. Chosen Rich

    Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    Ila inajibu maswali na inatatua tatizo si ndio ?
  8. Chosen Rich

    Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    Tuchukulie mfano, Mimi ni mfamasia Haita take over my job ?
  9. Chosen Rich

    Umewezaje kukwepa huu mfumo kutoka gizani?

    How ? Na kwanini ?
  10. Chosen Rich

    Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    Nimekuelewa vizuri sana, Lakini nahitaji kuelewa kwa kina Gape inakua ni kati ya Africa na Matataifa mengine ? Au walio na akili na wasio na Akili ? Msingi wa swali ni baada ya “Africa” kuwa mentioned
  11. Chosen Rich

    Umewezaje kukwepa huu mfumo kutoka gizani?

    Hii picha imenifikirisha sana, Nikizingatia mwenendo mbaya uliopo katika jamii na kizazi cha sasa kwa ujumla Mwenendo ambao ni matokeo ya athari mbaya zilizotokana na utandawazi Vipi mdau, Umenusurika kwenye huu mfumo ? Umewazaje ?
  12. Chosen Rich

    Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    Kivipi ? Naomba ufafanuzi zaidi
  13. Chosen Rich

    Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    Hoja yako ni ipi ? Weka tuijadili pamoja
  14. Chosen Rich

    Je, AI itatusaidia au itachukua nafasi zetu?

    Tunafanyaje kutatua hii shida ili turukie kwenye AI sasa ?
Back
Top Bottom