Habari zenu ndugu zangu..natumai ni wazima wa afya kama ndo ivyo tumshukuru mungu kwa pamoja alhamdulilah mimi ndugu zangu na subaru legacyb4 year2004 shida yangu moja tu kwenye ac nikiwasha ac ubaridi unakuja baadae unakata nalafu unarudi tena ivyo ivyo nishajaza sana gas nakusafisha filter...
Niliweka almost elfu4 ikaingia buku tu elfu3 nzima wamechukua kesho yake nikaongea nao kwa uhuduma kwa wateja wakaniambia eti wakati naweka data yangu ilikuwa on aisee wahongo nalafu anayeongea ivyo demu nikamwambia na diploma ya It najua data ikiwa on na off wamenipiga ile ela
Sent using Jamii...
Habari ndugu zangu hii GARI sichoki kuitamani nakuiwaza kichwani kila mda cc 2000 ni mini sports car pia nilivyosoma inafaa Na rural roads nilikuwa nauliza gari za engine za ivi vipi wese yake?Na spea zake zinapatikanaje ?na kwa Arusha service au dar ntakuwa nafanyia garage gan nzur?ntashukuru...
Kwa sababu ya spea sio?napenda Audi cos GARI zinazotengenezwa Germany zinakuwa imala ata kama spea ghali uki repair once itachukua mda Ku repair tena thanks brother pamoja ...ila kwanini umesema nisichukue Audi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu hope mko poa Na buheri Wa afya ..ndugu zangu samahanini sana me Mgeni Wa magari kwenye pita pita zangu nimeona GARI ya Audi TT 2011 iko poa sana INA cc 1980 nimeipenda Na very affordable swali langu je vipi services zake in terms of gharama?ulaji wake Wa mafuta?Na spea zake...
Nauliza jamani izi GARI spea zake zinapatikana nnchini?pia vipi ulaji wake Wa mafuta ?INA cc 1980 pia I think ni sport car..Nilichoipendea hii GARI muhundo,seats Na nguvu yake ya engine plus total speed ..kabla sijanunua ningeomba ushaur is it suitable for our roads plans kuhamia Arusha mjini so...
Habari zenu ndugu zangu ..naomba kuuridha kwakuwa mie Mgeni Wa magari nimetokea kuipenda Audi TT ya Mwaka 2011 cc1989 kama sikosei location IPO Yokahama Japan hii GARI adi inafika Tanzania port ni jumla ya $9884 swali langu.hii GARI I think ni sports car cause speed yake ad 260 ulaji wake Wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.