Bado Taifa letu linaendelea kupambana na wale Maadui watatu aliowataja Hayati Mwl. JKN.
1. Maradhi
2. Umaskini
3. Ujinga
Sijajua kama kuna tathmini huwa zinafanyika kuangalia hawa maadui watatu tunawaangamiza au wameanza kutuzidi.
C.B
Hili lilikuwa jambo la muda kidogo, kwa sasa haiwezekani tena. Ila pengine haukunipata vyema nilichokuwa namaanisha ni kwamba. Mzazi anaowajibu wa kumlinda nwanae hilo halina shida kabisa. Ila ninachoona kinashida ni vile mzazi kuendelea kumfuata fuata mwanae (kumfuatilia) mwanae ambaye kiumri...
Pengine, bado haujanipata vizuri. Hoja iliyopo sasa ni juu ya uangalizi uliopitiliza kwa msichana mkubwa hivyo kana kwamba ni mtoto mdogo. Najiuliza maswali huyo msichana akipata ajira nje ya mkoa aliopo je mama yake ataendelea kumfuatilia hivyo? Kama tayari alishamjenga kiimani na kumuwekea...
Nimekuelewa vizuri Sanaa trudie, nadhani hiki ulichoandika ndicho nilitamani kusikia kutoka kwa hadhira hii, lakini nimeshangazwa na comments za watu wengi wakitukana na kuchukulia in a negative way.
Bado mitazamo ya watu wengi wanaamini mtu akiuliza swali ni kama analalamika.
Jamii yapaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.