ahahaha kwel ww hujitambui....,jitambue utapata jibu vzur tuu..
Huon watu wanaendesha maisha yao kuptia mtandao tuu na wana make money,huo n mteremko au waropoka tu ndgu?
Tatzo ww umekalili kwamba lazima utoke jasho ndo upate pesa,huu ulimwengu mwingne baana,usiongee tu watu watakucheka mtaan...
Habarini wandgu?
Nina simu ya smarphone na huwa natumia muda mwingi saana kutumia kwa ajili ya social media n.k.
Nimejitathimini na kujiuliza je kupitia hizi social media zinazonyonya muda wangu bila faida je siwezi kuzitumia ili kuniingizia pesa?bado sijapata jibu..
Naombeni ushauri nifanye...
Asanteni Nyoote Kabla Ya Kufika hospital nilijitahidi kufanya yale mliyonishauli na tatzo likatoweka kabisaaa...
Na baada ya kufika hospital kupima mkojo na vingnevyo kukawa hakuna tatzo loolote zaid ya mkojo kuwa mchafu lakin s kwa kiwango kikubwa...
Sasa hivi hakuna tatzo kabisa cos nafuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.