Recent content by CHOGEZI - Junior

  1. CHOGEZI - Junior

    Msaada: Connection ya soko jipya la Ukonga Banana

    Kwa yeyote mwenye connection na Soko linalo jengwa nyuma ya bus station ya kuelekea Kitunda (maeneo ya ukonga banana), tafadhari anisaidie mawasiliano na wahusika.
  2. CHOGEZI - Junior

    Natafuta Pikipiki bora kwa matumizi ya binafsi (sio kwa biashara) [boxer bm 150x vs tvs 150x)

    SINORAY 250cc Wadau, nikapita pita nikakutana na hii machine, mnaweza nishauri hapa? Zina changamoto gani au zipoje hz mashine? Naweza nunua hii?
  3. CHOGEZI - Junior

    Natafuta Pikipiki bora kwa matumizi ya binafsi (sio kwa biashara) [boxer bm 150x vs tvs 150x)

    Nashukuru wadau kwa ushauri wenu, naendelea kupokea maoni nduguzanguni.
  4. CHOGEZI - Junior

    Natafuta Pikipiki bora kwa matumizi ya binafsi (sio kwa biashara) [boxer bm 150x vs tvs 150x)

    Wadau, Naombeni ushauri, kwa matumizi binafsi ya pikipiki, ipi ninapaswa kununua kwa matumizi binafsi (sio kwa biashara). Nakaribisha maoni.
  5. CHOGEZI - Junior

    Biashara ya kusaga na kukoboa mahindi

    Nilikuwa naomba muongozo kuhusu biashara ya kusaga na kukoboa Mahindi, nilifikiria kuanzisha biashara hii, sasa nilikuwa nakusanya changamoto za hii biashara, na utendaji wake, technique za kupata soko kirahisi kwa bidhaa nitakazozalisha. Pia Mwongozo kuhusu mashine (kampuni gani inatoa machine...
  6. CHOGEZI - Junior

    Tozo ya uchomaji mkaa

    Kuna tozo au adhabu ya kuchoma mkaa kwenye eneo la makazi bila kujua sheria za mazingira? Mwongozo na nyaraka ya sheria elekezi tafadhali.
Back
Top Bottom