nyie ndo mbulula kweli, hajakataa vikao visifanyike ila amekataa swala lake kujadiliwa na kamati ambayo maamzi yake ya kumvua uanachama aliyakatia rufaa
kwa hiyo cc waamue kwanza rufaa yake ndipo kamati kuu iendelee na utaratibu wake. nashangaa wanaojiita wasomi mnafuata mkumbo hata kama mtu...
kinajiandaa kwenda wap? wewe yericko ulipost waraka wa siri wa cdm ili kumchafua zitto lakini Mungu yupo atakuhukumu na wanafiki wenzako mnaokaa nao kwenye vikao vya siri vya kumchafua zitto. endeleeni kutuharibia chama ila mbele ya safari mtaumia kama tulivyoumia kwa usaliti wenu.
cdm chukueni ushauri wa wengi chama chetu kizidi kupeta ila asiyesikia la kufa.....waacheni akina zitto wajenge chama kuna vyama vinataman kupata watu kama hao ila haiwezekan. achen fitina tujenge chama chetu.
unataka wawapokee wakati sio wa kwao? viongozi wetu wamekurupuka wanalazimisha watu kuwa ni wahamiaji haramu wakati ni raia wa nchi hii. usiombe yakakukuta wewe ndugu yangu.
Muulize makinda kwanini zile vurugu za mtwara alisitisha bunge lakini tukio la Arusha amejifanya hajui chochote na amekata kurijadili Bungeni. Nadhani kuna agenda ya chama chake anaijuia vizuri.
kwa kuwa wanaonekana kukuamin jaribu kuwaelewesha kama ubora wa kiongozi sio chama bali ni uwezo wa mgombea bila kuangalia chama alichopo. lakin kitu cha pili waelimishe kuhusu sera za Cdm zilivyo nzuri na bora kwa maendeleo ya wanasame.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.