UTABIRI WANGU: Kama prof. Mbarawa atapita na kuchaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar, basi 2025 huenda akachukua fomu ya kugombea u Rais wa Tanzania, na iwapo atafanikiwa kuwa Rais, basi ile katiba ya Judge Warioba italetwa mezani, kwani kama Taifa tutakuwa tumejifunza mengi, kwa mfano, madaraka...