Mwenye Uzi huu , ndo wale wale ambao elimu , elimu , elimu viweze kuwafumbua fikra zao , nyambafu unadhani electronic inaendeshwa kwa nini ? Ni mwendo wa logic gate ,'kama ni ON iwe hivo na sio OFF
Mheshimiwa alijichanganya hapo mwenyewe , wapiga kura million sita hv wote ni kura zilizokuwa zimeandaliwa na CCM , na ni kama idadi ya wanachama wao , ko kura hewa za wana CCM zipo constant , jumlisha zile zitakazopigwa Siku ya uchaguzi ....kweli bao la mkono tumelishtukia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.