Unajua TAMISEMI imejaa hizi siasa za hapa na pale. Kwa hiyo ni vema uwe mzalishaji-kwenye WATU, ARDHI, SIASA SAFI na kwa hakika UONGOZI BORA. Huyu Ndugu ni fundi kwa namna ninavyomtafsiri mimi.
Yupo kocha kachukua sana makombe ya klabu bingwa Ulaya na Dunia, halafu akaja kujitwisha kombe la Dunia lenyewe. Ni nadra sana kwa makocha wengi duniani. Bahati mbaya mpaka post hii hajatajwa. Nadhani wengi tumefuatilia mechi hizi hivi karibuni. Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.