Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Huyu jamaa tulijua tu atakuwa mbunge .
Kila la heri miraji mtaturu.
Mh. Naomba umteue prof lipumba kuwa mkuu wa wilaya ya ikungi.
====
CCM yampitisha Mtaturu kugombea jimbo la Tundu Lissu…
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Miraji Mtaturu kuwa mgombea wa Jimbo la Singida Mashariki, katika uchaguzi utakaofanyika Jula 31, mwaka huu.
Kila la heri miraji mtaturu.
Mh. Naomba umteue prof lipumba kuwa mkuu wa wilaya ya ikungi.
====
CCM yampitisha Mtaturu kugombea jimbo la Tundu Lissu…
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Miraji Mtaturu kuwa mgombea wa Jimbo la Singida Mashariki, katika uchaguzi utakaofanyika Jula 31, mwaka huu.