Hufatilii media ,Israel alishawahi kuuupiga mfumo wa s-300 sryia alirusha makombora yaan land to air missile mfumo wa ulinzi wa s-300 ulipodect makombora Israel akarusha fighter jet zake zikashambulia mfumo huo mpaka akauharibu mpaka wachambuzi wakashangaa Israel kawezaje kupenya na kuishinda...
Habarini wakuu,
Wakuu nimetapeliwa au niseme kwa lugha nyingine nimedhulumiwa na jamaa yangu, iko hivi awali huyu jamaa alikuja kwangu akidai nimwazimishe computer yangu akadai kuna kazi anaenda kuifanya nikampa two days later akaja kwangu tena akadai vibaka wamemkaba wamemnyang'anya pesa yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.