Recent content by Chitolaki Napwachi

  1. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Ikiwa Simba SC watafuzu itakuwa ni fedhea kwa Serikali

    Mimi naona kinyume chake.. Ushindi halali wa yanga kutokana na maandaluizi yake misimu kadhaa hivi karibuni itaonekana kuwa ni matokeo ya mbeleko.. Kitu ambacho sio sahihi
  2. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Siyatambui mapinduzi Guinea, Rais Conde namtambua kama Rais bado waliomteka nyara wamrudishe upesi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Familia ya Gwajima imemkosea Waziri wa Afya, kiungwana wamtafute wamuombe radhi

    Steven Gwajima ana uhusiano gani na Mzee Gwajima( Baba yake Josephat). Naona Josephat alitumia Ukoo wetu..
  4. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nina tatizo la kuvimba ngozi

    Asante saana mkuu Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  6. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nina tatizo la kuvimba ngozi

    Asante Sana mkuu..naona maeneo ya tumboni pia inaanza kutokea Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  7. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nina tatizo la kuvimba ngozi

    Nimepata hii Hali ya ngozi kuvimba na muwasho kwambali Kama inavyoonekanakwe ye picha. Hii inaweza kuwa Ni Nini? Na tiba yake ni nini? Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  8. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Upepo mkali Tanga Mjini

    Rukwa Ni shiida..nahisi nyumba itapaa sasa hivi..
  9. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na kufanya mazunguzmo na Tony Blair

    Blair ni Obasanjo wa Ulaya Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
  10. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

    Kuna jamaa alipelekwa porini akaambiwa ageukie mlimani then adake kitu chochote kitakacho mjia.ghafla akaona booonge la mjiwe unaporomoka toka juu ya momma huku unavunja miti unabiringika kuja kwake..jamaa akalala mbele..akafeli[emoji23][emoji23][emoji23]. Unaanzaje kuudaka mjiwe mkubwa Kama...
  11. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Hivi ilikuaje hadi urafiki wa baba na jirani yake tolu kuvunjika?

    Mjomba bado anamtamani Sana Tolu
  12. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini jamii ya wahindi imesahaulika kwenye teuzi za kisiasa?

    Tatizo wahindi hawajawahi kujiona Ni sehemu ya jamii yetu. Hata ushiriki wao katika masuala ya kijamii acha kisiasa hata katika ngazi ya chini Ni mdogo Sana ( Huwa namshangaa Prof. Issa Shivji Ni muhindi wa namna gani). In short hawajichanganyi
  13. Chitolaki Napwachi

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Waliokimbia CHADEMA watarudi, tutawasamehe dhambi zao

    Kugombea ni haki yao pia..
Back
Top Bottom