Itakua ngumu labda kuwepo na kubadilisha drivers njiani mfano Driver anatoka Dar mpaka Iringa anaishia hapo mwingine anaanzia Iringa hadi Songea lakini bila kulaza abiria njiani! Maana kutaongezeka magonjwa ya milipuko, kujaamiana njiani nk!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.