Recent content by Chitembwele Mbuvu

  1. C

    Taharuki maeneo ya Kitunda Machimbo

    Hao panya njia ni vijipu uchungu vitumbuliwe haraka!
  2. C

    Watanzania waliokuwa wametekwa Congo waokolewa

    Kweli wameokolewa? Kama kweli Mungu mmkubwa!
  3. C

    Hawa wachina wanaotengeza barabara ya Iringa Njombe nani anawapa kiburi?

    Wachina! Washindwe na walegee wasitujengee Bara Bara chini ya kiwango!
  4. C

    Usafiri wa mabasi kwa baadhi ya mikoa sasa kuchukua mpaka siku mbili kufika

    Itakua ngumu labda kuwepo na kubadilisha drivers njiani mfano Driver anatoka Dar mpaka Iringa anaishia hapo mwingine anaanzia Iringa hadi Songea lakini bila kulaza abiria njiani! Maana kutaongezeka magonjwa ya milipuko, kujaamiana njiani nk!
  5. C

    Bank ya CRDB inachosha, Usiamini huduma yao

    Hiyo ni Bank ya maendeleo vijijini sielewi kwa nini wanang'ang'ana mijini wajikite ktk kilimo ili kieleweke !
  6. C

    Maisha: Baba huyu maskini hakusita kumsupport mwanae katika mahafali

    Kamthamini na kumpenda Mwanaye ! hakuna udharirishaji kaonesha uhalisia wake!
Back
Top Bottom