Taharuki maeneo ya Kitunda Machimbo

Taharuki maeneo ya Kitunda Machimbo

Hali hii ni mbaya serekali inabidi kulifanyia kazi suala hili la hawa vijana na matukio kama hayo yakuvamia nyumba/mtaa usiku na kupora mali.
 
Hali hii ni mbaya serekali inabidi kulifanyia kazi suala hili la hawa vijana na matukio kama hayo yakuvamia nyumba/mtaa usiku na kupora mali.
Mwanaume wa dar katika ubora wako...kila kitu serikali mnashindwa kuchukua fimbo na kuwacharaza hao watoto
 
Mwanaume wa dar katika ubora wako...kila kitu serikali mnashindwa kuchukua fimbo na kuwacharaza hao watoto
Hili suala c mzaha kama mnavyochukulia watu wanapoteza maisha na mali zao. Hata kama wewe c wa Dar ipo siku litakugusa kwa namba moja ama nyingine.

Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app
 
Nyie si mnajifanyaga mnawakashifu polisi jwenye keyboard huku mnakula chips...haya sasa onyesheni uanaume wenu...
 
Back
Top Bottom