Recent content by Chisotta

  1. C

    Buriani ndugu zangu , tutaonana akhera

    Hutaki kuona ufalme wa Mungu? Subiri akuchukue mwenyewe, usiondoe uhai wako mwenyewe, ni dhambi. Imeandikwa, usiue. Utakosa nafasi ya kutubu ndugu. Usithubutu. Ukisoma ujumbe huu wa kwangu, acha mawazo hayo, ishi kwa mataini ya kuiɓgia ktk mbingu mpyaaaa. Amen.
  2. C

    Jackline wolper kaachwa tena?

    Bratt alimuacha Jeniffa, nae Bratt akaachwa na Anjelina, cha ajabu nini? Jacklin atampata aliyepangiwa na Mungu wake.
  3. C

    Msaada huu ni ugonjwa gani

    Wengi wameanza kupata vipele hivyo. Abadilishe aina ya mafuta ya kula. Wakina mama wengine wanapika chapati laini, tamu kweli, lakini mafuta wanayotumia hmmmmmm. Hata samaki wa kukaanga, mkaange wenyewe, chapati mpike wenyewe, hali ni mbaya/ngumu, dunia umevaa bukta, mjiaangalie sana. Vipele...
  4. C

    Nang'atuka kwani ualimu siyo baba yangu wala mama yangu

    Hata kwa kuuza karanga utatoka, sio mshahara wa ualimu, dooo.
Back
Top Bottom