Swadakta; kwa asiejua watu wa huku kusini atasema unalopoka ila mm pia mmakonde natoa ushuhuda ni kweli watu wa huku wana ushikaji fake km hawana wanajishusha utawaonea huruma ila siku akifanikiwa nakuambia huruma yako itakuponza si tuna ujanja wa kukulupuka na kujiona zaidi kwa Tanzania hii...
Mkuu kioo salute mingi mingi kwako ila bado sijapata nyimbo hizi; kwenye tv na umaarufu za g_solo na miss bongo wa jaji hakim niliomba umu mwenye nazo aniwekee tafadhali
Wakuu kuna nyimbo nazitafuta mtandaoni sizipati km kuna mmoja wetu anazo anisaidie,
1; deso - my sweat heart
2: t.o.t band - sweat baby
Wikiendi itakua mzuri nikizipata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.