Recent content by Chinkugwata

  1. C

    Tra oral interview feedback

    Majamaaa, meskia skia kwa mbali sana kua hawa majamaa wameanza kuita. So kila mwenye mdau aliye kua awasiliane kama hilo limetokea kisha tupate habari kama kuna habari kama hyo huko kwa roots!
  2. C

    Jwtz kusitisha kuajili graduates kwa muda

    Na ndio watao endelea kwenda hao mjomba so comment yako hapa haina maana kabisa coz wanaotangaza ni baba zao na wliobadilisha hayo hapo ni baba zao hao hao. Kwa hili waliozuiliwa ni watoto wa MBWA ambao walikua wanapata nafac hzo kwa bahati mbaya! So hupaswi kufrah kwa hili kwan ndo wameua...
  3. C

    Kama kweli Wazanzibari "wengi" wanataka watoke kwenye Muungano mbona ni rahisi sana...

    shida wanasiasa nao ndo wameona katika hilo ndo mahali pa kutafutia cha kuzungumza kwa bunge!!!!!
  4. C

    Katuni ya Kipanya 08-06

    Kimsingi inatia huruma na mara nyingine hasira sana kuishi kwa this country! Huu waweza kua ufinyu wa upeo wa viongozi wa nchi, kisha ukaamishiwa kwa wananchi tuliokua wengi wenye njaa kali kiasi hata muda wa kuweza kufikiria nn kinafanyika katika nchi yetu hatujabakiziwa! Kimsingi me naogopa...
  5. C

    Katuni ya Kipanya 08-06

    Kimsingi inatia huruma na mara nyingine hasira sana kuishi kwa this country! Huu waweza kua ufinyu wa upeo wa viongozi wa nchi, kisha ukaamishiwa kwa wananchi tuliokua wengi wenye njaa kali kiasi hata muda wa kuweza kufikiria nn kinafanyika katika nchi yetu hatujabakiziwa! Kimsingi me naogopa...
  6. C

    Nafasi za Kazi TANAPA

    Sana jamaa! Majamaa wengine ni kama hua hawajui hilo wanakua wanadhani graduates ni wao tu, so wakishaomba wakakosa wanaishia hapo kuconclude hakukua na kazi hapo. Kuna mwingine analia na ghalama na stationary c aache kuomba! ila kimsing ni nzuri kuomba wasikuite coz wakikuita hutashangaaa!!
Back
Top Bottom