Ndio tuko kwenye utafiti na mawazo Yako ni Sehemu muhimu ya utafiti.
Ukweli ni kwamba mpaka sasa tofali za kuchoma ndizo Zinatumika Sana kwenye majengo ya wananchi wa kawaida, taasisi na hata serikalini.
Shida kubwa sio ubora bali kiwango chake. Zinafyatuliwa kienyeji na zinachomwa kienyeji...
Nikiwa mdogo miaka ya tisini niliona mashine hiyo kwambali PERAMIHO Songea kwenye shirika la Benedictine Father's. Nahisi ilikuwa ya kutengenezwa kwenye karakana za pale. So sikujali wakati huo sasa ndio naihitaji. Kama wapo wenyeji wa PERAMIHO Songea watujuzepia kama bado kile kiwanda kipo...
Ahsante sana Kwa kujali ombi langu. Kwamba hizi zinapatikana SA na ili upate mpaka uagize kutoka huko? Pia naomba kujua Kwa chenji yetu ya bongo ni sawa na shida. NGAPI?
Ndugu naomba yeyote anaejua mashine za kufyatua matofali matofali ya udongo Kwa Mfumo wa kisasa anielekeze na bei yake.
Mpaka sasa tofali za udongo za kuchoma ndzo zinatumika sana kwenye ujenzi na Mfumo wa ufyatuaji wake umeendelea Kuwa wa kienyeji sana na kuzifanya kukosa ubora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.